DKT. MWINYI ATAKA MISIKITI ITUMIKE KWA MANUFAA YA DUNIA NA AKHERA

Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi Amewataka Wananchi Kuhakikisha Wanaitumia Misikiti Kwa Kufanya Ibada Na Taaluma Nyingine Ili Kuleta Maslahi Mapana Kwa Ujenzi Wa Maisha Ya Dunia Na Akhera.

Dk Mwinyi Ameyasema Hayo Katika Hafla Ya Ufunguzi Wa Msikiti Wa Ijumaa Chachani Wilaya Ya Chake Mkoa Wa Kusini Pemba.

Alhaj Doctor Mwinyi Amesema Misikiti Ni Mahapa Pekee Pa Kukutana Na Kujadili Masuala Yanayoikabili Jamii Ikiwemo Kuwa Saidia Mayatima Wajane Na Wasiojiweza Il Kujenga Mustakbali Mwema Wa Maisha Na Mendeleo Yao

SMZ NA SMT KUTOA ELIMU YA MUUNGANO KWA WANANCHI.

Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Makamu Wa Pili Wa Rais Sera Uratibu Na Baraza La Wawakilishi Mhe Hamza Hassan Juma Amesema Muungano Wa Tanganyika Na Zanzibar Ndio Tunu Pekee Ya Watanzania Inayowaweka Pamoja Katika Kuimarisha Maendeleo.

Akizungumza Katika Kikao Cha Ushirikiano Baina Ya Ofisi Ya Makamu Wa Pili Wa Rais Zanzibar Na Ofisi Ya Makamu Wa Rais Tanzania Kwa Ajili Ya Kujadili Masuala Ya Muungano Na Yasiyo Ya Muungano Waziri Hamza Amesema Watanzania Wanapaswa Kuutumia Muungano Kama Ni Fursa Katika Kukuza Uchumi Ujamaa Na Ulinzi Kwa Kupitia Sekta Mbalimbali Ikiwemo Michezo.

SERIKALI ITAENDELEA KUJENGA UCHUMI JUMUISHI

Serikali Ya Mapinduzi Ya Zanzibar Itaendelea Na Azma Yake Ya Kujenga Uchumi Shindani Na Jumuishi Kwa Kuifanya Zanzibar Kuwa Sehemu Rafiki Ya Biashara Na Uwekezaji Kwa Kuweka Miundombinu Imara, Sera Bora Na Huduma Zenye Ufanisi.

GAMONDI ASAINI MKATABA WA KUWA KOCHA MKUU TAIFA STARS

Serikali Ya Jamhuri Ya Mungano Wa Tanzania Imempa Mkataba Wa Miaka Miwili Kaimu Kocha Mkuu Wa Taifa Stars Miguel Gamondi
 Na Sasa Kuwa Kocha Mkuu Ajili Ya Kuifundisha Timu Hiyo Ikiwa Ni Miongoni Mwa Mikakati Ya Kufanya Vizuri Katika Mashindano
 YaAfcon 2027

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.