MHE. AYOUB AANZA UTEKELEZAJI WA AHADI NNE ZA MAENDELEO JIMBO LA CHAANI

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chaani, Ayoub Mohammed Mahomud ameweka bayana dhamira yake ya kuleta mapinduzi ya kiuchumi jimboni humo kwa kutangaza kuanza kwa utekelezaji wa ahadi zake nne kuu alizozitoa wakati wa kipindi cha kampeni.

​Akizungumza leo na Wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kisauni, Mbunge huyo amesisitiza kuwa kipaumbele chake cha kwanza ni Usalama wa Chakula, akilenga kuhakikisha jimbo hilo linakuwa na akiba ya kutosha ya chakula isiyopungua tani 100 kila mwaka.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.