TAASISI ZA UMMA ZATAKIWA KUZINGATIA UPENDO NA UADILIFU

Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Dkt, Hussein Ali

Mwinyi Amewasisitiza Viongozi Wakuu Katika Taasisi Za Umma Kuzingatia Upendo,Uadilifu Na Haki Katika Kuwasimamia Wanaowaongoza Na Utekelezaji Wa Majukumu Yao. 

Akizungumza Katika Kongamano La Tatu La Kiimani Kwa Viongozi Wa Serikali Lililoandaliwa Na Afisi Ya Mufti Mkuu Wa Zanzibar, Ameeleza Kuwa Kongamano Hilo Ni Msingi Wa Kukumbushana Umuhimu Wa Kuzingatia Maadili Katika Utumishi Wa Umma Na Jukwaa Muhimu La Kujifunza Uwiano Wa Kazi Kwa Misingi Ya Kiimani 

ZANZIBAR YAANDIKA HISTORIA IFTAR YA WATU 27,345.

Zanzibar Imeandika Historia Ya Kipekee Baada Ya Kukusanya Watu 27,345 Kwa Iftar Ya Pamoja Ya Kitaifa Iliyofanyika Kwenye Uwanja Wa Amaan Complex Mjini Unguja Tarehe 7 Machi, 2027.

Kwa Mujibu Wa Takwimu Zilizotolewa Na Ofisi Ya Mtakwimu Mkuu Wa Serikali Ya Zanzibar, Katika Iftar Hiyo, Wanaume Waliohudhuria Walikuwa 18, 771 Sawa Na Asilimia 68.6% Na Wanawake Ni 8,574 Sawa Na Asilimia 31.4%.

Hii Ni Mara Ya Kwanza Kwa Zanzibar Kuandaa Tukio La Aina Hii Ambalo Huenda Limevunja Rikodi Ya Dunia.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.