Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar Dkt.Khalid Salum Mohamed amesema lengo la Serikali la kuendelea kujenga miundombinu ya Barabara ni kurahisisha shughuli za usafiri na usafirishaji kwa Wananchi na Taifa.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Dkt .Khalid Salum Mohamed akizungumza wakati wa Ziara ya kukagua vifaa vya ujenzi wa Barabara vya Kampuni ya CCECC amesema vifaa hivyo vimekuja wakati sahihi na vitarahisisha ujenzi wa Barabara za Mjini