KATIBU BARAZA LA MICHEZO AKUTANA NA UONGOZI WA TAASIS YA 'ZYBA'

Katibu Baraza  la Michezo

       Katibu Mtendaji Baraza la Michezo Zanzibar, Said Kassim amekutana na Mkurugenzi wa Taasisi ya Zanzibar Youth Basketball (ZYBA) Abdul Azizi Salim na kutoa Baraka za Mashindano ya ZYBA BASKETBALL 2024, yatakayoanza hivi karibuni.

     Viongozi wa Baraza wameipongeza ZYBA kwa kuweza kuandaa jambo kubwa na zuri lakini pia litakaloweza kuitangaza Zanzibar Kimichezo.

 

stories
standard
 
The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.