MALINDI YAANZA KWA KISHINDO

Naibu Waziri Wa Wizara Ya Habari, Sanaa, Utamaduni Na Michezo Ali Abdul-Ghulam Hussein Amesema Serikali Itaendelea Kuwekeza Kwa Katika Sekta Ya Michezo Kwa Kujenga Na Kuimarisha Miundombinu Ya Viwanja Vya Michezo Ili Kuendeleza Vipaji Vya Vijana Nchini.

SERIKALI KUTUMIA BILIONI 79 KUJENGA VITUO VYA POLISI 698 NCHI NZIMA

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, amesema Serikali imepanga kutumia zaidi ya Shilingi Bilioni 79 kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya polisi 698 nchini, ikiwa ni mkakati wa kuimarisha usalama wa raia na mali zao.

​Akizungumza leo wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya Vituo vya Jeshi la Polisi visiwani Zanzibar Mhe. Ayoub Mahmoud amebainisha kuwa uamuzi huo umekuja baada ya Serikali kuona kuna uhitaji wa kusogeza huduma za Kipolisi karibu na wananchi zaidi.

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.