Naibu Waziri Wa Wizara Ya Habari, Sanaa, Utamaduni Na Michezo Ali Abdul-Ghulam Hussein Amesema Serikali Itaendelea Kuwekeza Kwa Katika Sekta Ya Michezo Kwa Kujenga Na Kuimarisha Miundombinu Ya Viwanja Vya Michezo Ili Kuendeleza Vipaji Vya Vijana Nchini.