English
Katibu Wa Klabu Ya Jku Sc Khatibu Shazil Khatibu Amesema Timu Yao Inaendelea Na Maandalizi Ya Kuhakikisha Mzunguko Wa Pili Wanafanya Vizuri Ili Kubeba Ubingwa
Katibu Shazil Amesema Malengo Ya Jku Ni Kufanya Vizuri Katika Michuwano Ya Ligi Kuu Na Kombe La Fa Huku Akigusia Kuhusu Usajili Waliofanya.
