DKT.NCHIMBI AWAOMBA WANANCHI WA MKOA WA RUVUMA KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA

Dkt.Nchimbi

     Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewataka wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kuendelea kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan Katika mambo yote mazuri ambayo anayafanya hasa katika kuleta maendeleo katika Taifa Lenye Amani Upendo na Utulivu pia

     Dkt. Nchimbi amesema Chama Cha Mapinduzi CCM kitahakikisha kinamshauri vyema Mwenyekiti wa chama hicho ili kuleta maendeleo kwa Watanzania wote.

 

 

Tags
stories
standard
 
The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.