SERIKALI ITAENDELEA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA MAWAKILI

Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Amekihakikishia Chama Cha Mawakili Zanzibar Kuwa Serikali Inathamini Na Kuunga Mkono Kazi Nzuri Inayofanywa Na Chama Hicho Ya Kuwasaidia Wananchi Katika Masuala Ya Kisheria.

Rais Dkt. Mwinyi Ameyasema Hayo Alipokutana Na Uongozi Wa Chama Cha Mawakili Zanzibar Ulioongozwa Na Rais Wa Chama Hicho, Wakili Joseph Shaban Magazi, Waliofika Ikulu, Zanzibar.

WAZIRI MASOUD AWAONYA WATENDAJI WA ZASCO

Waziri Wa Uchumi Wa Blue Na Uvuvi Zanzibar Mhe. Masoud Ali Mohammed Amewataka Watendaji Wa Kampuni Ya Mwani (Zasco) Kuhakikisha Mipango Waliojiwekea Inakwenda Sambamba Na Malengo Ya Serikali Ya Kuliimarisha Zao Mwani Pamoja Na Kuinua Maslahi Ya Wazalishaji Wa Hilo.

Akizungumza Na Wafanyakazi Wa Zasco Huko Mlandege Mhe. Masoud Amesema Ili Mpango Hupo Uiende Sambamba Na Malengo Ya Serikali Ni Lazima Kuwe Na   Juhudi Za Utekelezaji Kwa Watendaji Wake. 

 

Subscribe to
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.