RAIS SAMIA ATAKA MAMA NA BABA LISHE WAHESHIMIWE
Rais Wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Amemtaka Waziri Wa Tamisemi Prof. Riziki Shemdoe Kutenga Na Kuyaendeleza Maeneo Yaliyo Kwisha Tengwa Kwa Ajili Ya Shughuli Za Mama Na Baba Lishe Nchini Pamoja Na Kuweka Miundombinu Bora Huku Mama Na Baba Lishe Wakitakiwa Kutumia Nishati Safi Ya Kupiki Katika Shughuli Zao.
Pia Rais Dkt Samia Ameitaka Wizara Ya Fedha Kuweka Mazingira Rafiki Ya Kisera Na Kisheria Ili Wafanyabiashara Ndogondogo Wakiwemo Mama Na Baba Lishe Nchini Waweze Kunufaika Na Mikopo Inayotolewa Na Serikali.


