TANESCO LINDI YAPOKEA VITENDEA KAZI VYENYE THAMANI YA BILIONI 1.09 KUBORESHA HUDUMA YA UMEME

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Lindi limepokea vitendea kazi vipya vyenye thamani ya Shilingi bilioni 1.09 kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa huduma ya umeme kwa wananchi.

Vitendea kazi hivyo ni pamoja na Magari madogo mawili , Malori mawili, Bajaji Saba Pikipiki kumi na kompyuta nane

TANESCO LINDI YAWANASA WATU WAWILI KWA KUJIUNGANISHIA UMEME KINYUME CHA SHERIA

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Lindi limeendesha oparesheni maalumu ya kudhibiti vitendo vya kujiunganishia umeme kiholela na kinyume cha sheria, ambapo limefanikiwa kuwakamata watu wawili wanaodaiwa kujiunganishia huduma hiyo bila kufuata taratibu.

Subscribe to Lindi Tanzania
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.