TANESCO LINDI YAPOKEA VITENDEA KAZI VYENYE THAMANI YA BILIONI 1.09 KUBORESHA HUDUMA YA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Lindi limepokea vitendea kazi vipya vyenye thamani ya Shilingi bilioni 1.09 kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa huduma ya umeme kwa wananchi.
Vitendea kazi hivyo ni pamoja na Magari madogo mawili , Malori mawili, Bajaji Saba Pikipiki kumi na kompyuta nane

