RAIS SAMIA ATAKA MAMA NA BABA LISHE WAHESHIMIWE

Rais Wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Amemtaka Waziri Wa Tamisemi Prof. Riziki Shemdoe Kutenga Na Kuyaendeleza Maeneo Yaliyo Kwisha Tengwa Kwa Ajili Ya Shughuli Za Mama Na Baba Lishe Nchini Pamoja Na Kuweka Miundombinu Bora Huku Mama Na Baba Lishe Wakitakiwa Kutumia Nishati Safi Ya Kupiki Katika Shughuli Zao.

Pia Rais Dkt Samia Ameitaka Wizara Ya Fedha Kuweka Mazingira Rafiki Ya Kisera Na Kisheria Ili Wafanyabiashara Ndogondogo Wakiwemo Mama Na Baba Lishe Nchini Waweze Kunufaika Na Mikopo Inayotolewa Na Serikali.

DKT SAMIA AZINDUA MPANGO WA KUSOMA KUANDIKA NA KUHESABU

Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh.Dk. Samia Suluhu Hassan Amezindua Mpango Mkakati Wa Sayansi Wa Kujenga Umahiri Wa Kusoma, Kuandika Na Kuhesabu (Kkk)Kwa Watoto Wa Elimu Awali Na Wanafunzi Wa Darasa La Kwanza Na La Pili.

Akizungumza Katika Uzinduzi Wa Mpango Huo Uliofanyika Jiji Dar Es Salaam, Rais SamiaAmesema Kuwa Serikali Imejidhadhati Kuhakikisha Kuwa Hakuna Mtoto Atakaye Fika Darasa La Tatu Bila Ya Kuwa Na Uwezo Wa Kusoma Kuandika, Kuandika Na Kuhesabu. 

Subscribe to RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.