ZANZIBAR YAANDIKA HISTORIA IFTAR YA WATU 27,345.

Zanzibar Imeandika Historia Ya Kipekee Baada Ya Kukusanya Watu 27,345 Kwa Iftar Ya Pamoja Ya Kitaifa Iliyofanyika Kwenye Uwanja Wa Amaan Complex Mjini Unguja Tarehe 7 Machi, 2027.

Kwa Mujibu Wa Takwimu Zilizotolewa Na Ofisi Ya Mtakwimu Mkuu Wa Serikali Ya Zanzibar, Katika Iftar Hiyo, Wanaume Waliohudhuria Walikuwa 18, 771 Sawa Na Asilimia 68.6% Na Wanawake Ni 8,574 Sawa Na Asilimia 31.4%.

Hii Ni Mara Ya Kwanza Kwa Zanzibar Kuandaa Tukio La Aina Hii Ambalo Huenda Limevunja Rikodi Ya Dunia.

Subscribe to IFTAR
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.