ZAA YAKANUSHA TAARIFA ZA WIZI WA MIZIGO UWANJA WA NDEGE WA (AAKIA)

Zanzibar, 11 Februari 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar (ZAA), Ndugu Seif Abdalla Juma, ametoa ufafanuzi kwa umma kufuatia taarifa zilizosambazwa kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii na vyombo vya habari zikidai kuwa mamlaka hiyo imeshindwa kudhibiti matukio ya wizi wa mizigo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume (AAKIA).

ZANZIBAR YAJIANDAA NA DHARURA ZA NDEGE

Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar imefanikiwa kutekeleza zoezi la kujiandaa na kukabiliana na dharura za Ndege, hatua inayolenga kuimarisha uratibu kati ya Taasisi za Ulinzi, usalama na usimamizi wa maafa.  Zoezi hilo limefanyika katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Abeid Amani Karume 

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Zanzibar Mulhat Yussuf Said wakati akizungumza na Waandishi wa Haaabari 

Subscribe to AAKIA
 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.