TUME YA TAIFA YA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI YATATUA MGOGORO ULIODUMU MIAKA 10 WILAYA YA KISARAWE
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) imefanikiwa kutatua mgogoro wa mpaka kati ya vijiji viwili uliyodumu zaidi ya miaka kumi huko Wilaya Kisarawe Mkoani Pwani.
