WAFANYAKAZI KUWA NA BIDII NA KUTHAMINI KAZI ZAO

MWALIMU WA SKULI YA ABDALA SHERIA

Wafanyakazi wametakiwa kufanya kazi kwa bidii pamoja na.kuthamini Kazi zao  ili kufikiya Malengo yao.

Wakitoa Maoni ya Siku ya Wafanyakazi Duniani   baadhi ya Wafanyakazi huko Skuli ya Abdala Sheria  ikiwa ni  katika kuadhimisha siku ya Wafanya kazi Duniani wamesema kuwa    umuhimu wa kuwepo Siku hiyo ni njingi ikiwemo kubadilishana uziwefu na  fursa  ya kujadili pamoja.

Wamesema Mafanikio mengi  yamepatikana pamoja na Maslahi na Mazingira bora kwa Wafanyakazi.

stories
standard
 
The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.