TAHADHARI YATOLEWA YA KUTOKEA KIMBUNGA HIDAYA MASHARIKI MWA PWANI YA MTWARA

Kimbunga

    Kufuatia utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania juu ya uwezekano wa kutokea kwa Kimbunga Hidaya chenye nguvu ya kati kikiwa umbali wa takribani kilomita 506 kutoka mashariki ya pwani ya Mtwara.

     Aidha, Mamlaka imetabiri mwenendo wa mifumo ya hali ya hewa baharini inayoonesha uwezekano mkubwa wa kimbunga Hidaya kusogea karibu kabisa na pwani ya Tanzania kuanzia usiku wa  tarehe 2 Mei 2024 na kuendelea hadi tarehe 6 Mei 2024.  

stories
standard
 
The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.