DKT.MPANGO AWASILI MKOANI ARUSHA

Dkt.Mpngo

   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amewasili Arusha tayari kwa kushiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani yanayotarajiwa kufanyika kwenye Uwanja wa Michezo wa Sheikh Amri Abeid Mjini Arusha.

 

Tags
stories
standard
 
The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.