HISTORIA YAANDIKWA MABASI YA UMEME YAWASILI ZANZIBAR

MABASI YA UMEME
English

Zanzibar imeandika historia Barani Afrika baada ya kuingiza Mabasi ya Umeme kwa mara ya kwanza. Serikali kupitia mradi wa usafiri wa kisasa imepokea Mabasi Kumi ya Umeme, ikiwa ni hatua ya Mwanzo ya mpango wa kuingiza Jumla ya Mabasi Mia Moja. 

Mabasi hayo yanatarajiwa kuanza kufanya kazi rasmi Mwezi wa Tatu baada ya kukamilika kwa taratibu na Sheria husika. hatua hii inalenga kuboresha Usafiri wa Umma na kupunguza uchafuzi wa Mazingira.

 

Simplenews subscription

The subscriber's email address.
Stay informed - subscribe to our newsletter.